forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
382 B
Markdown
16 lines
382 B
Markdown
|
# Wanyamazishe wanafunzi wako
|
||
|
|
||
|
"waambie wanafunzi wako waache kufanya mambo haya"
|
||
|
|
||
|
# Nawaambieni
|
||
|
|
||
|
Yesu alisema hivi kuonyesha msisitizo wa alichotaka kukisema baadae.
|
||
|
|
||
|
# Hawa wakinyamaza
|
||
|
|
||
|
Tafsiri zingine zinahitaji kuweka wazi kile ambacho Yesu alikuwa ikimaanisha pale aliposema 'Hapana, mimi sitawakemea, kwa maana hwa watu wakikaa kimya.'
|
||
|
|
||
|
# Mawe yatapaza sauti
|
||
|
|
||
|
"Mawe yatasifu"
|