forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
673 B
Markdown
28 lines
673 B
Markdown
|
# Taarifa ya jumla
|
||
|
|
||
|
Yesu amemaliza kuwaambia mfano wake na sasa anatoa mawazo juu ya makutano nyumbani kwa Zakayo.
|
||
|
|
||
|
# Nawaambia
|
||
|
|
||
|
Hii ilikuwa kauli ya mfalme. Watafsiri wengine wanaweza kutaka kuanza mstari huu kwa kusema "Na mfalme akajibu, 'Nawaambia ninyi" au Lakini mfalme akasema, Namwaambia hivi"
|
||
|
|
||
|
# Kila aliyenacho
|
||
|
|
||
|
"kila mtu atakayetumia vizuri alichopewa" au "kila mtu atakayetumia vizuri vitu nilivyompa"
|
||
|
|
||
|
# Atapewa zaidi
|
||
|
|
||
|
"Ntampa zaidi"
|
||
|
|
||
|
# Toka kwake ambaye hana
|
||
|
|
||
|
"Toka kwa mtu ambaye hatumii vizuri kile nilichompa"
|
||
|
|
||
|
# Kitaondolewa
|
||
|
|
||
|
"Nitakichukua kutoka kwake"
|
||
|
|
||
|
# Hawa adui zangu
|
||
|
|
||
|
Kwa kuwa adui zake hawakuwepo pale, lugha nyingine zawezasema "wale adui zangu."
|