forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
861 B
Markdown
36 lines
861 B
Markdown
|
# Maelezo yanayounganisha:
|
||
|
|
||
|
Yesu alimaliza kuwaambia mfano. kwenye mstari wa 14, alitoa maelezo kuhusu maana ya mfano huo.
|
||
|
|
||
|
# Akainua macho yake juu
|
||
|
|
||
|
"Akaangalia mbinguni" au "akaanalia mbele"
|
||
|
|
||
|
# Akapiga kifua chake
|
||
|
|
||
|
Hii ni ishara ya nje ya masikitiko makuu, na kuonyesha namna huyu mtu anavyotubu na unyenyekevu.
|
||
|
|
||
|
# Mungu nirehemu mimi, mwenye dhambi
|
||
|
|
||
|
Mungu nakuomba nirehemu mimi, japokuwa ni mtenda dhambi" Mungu, nakuomba unirehemu mimi. Ni mtenda dhambi"
|
||
|
|
||
|
# Huyu mtu alirudi nyumbani akiwa amehesabiwa haki.
|
||
|
|
||
|
"Mungu alimsamehe yule mtoza ushuru"
|
||
|
|
||
|
# Kuliko yule mwingine
|
||
|
|
||
|
"Kuliko yule mtu mwingine" au "na sio yule mtu mwingine." ' Lakini Mungu hakumsamehe Mfarisayo"
|
||
|
|
||
|
# Kwa sabau kila mtu atakayejikweza
|
||
|
|
||
|
Kwenye sentensi hii, Yesu anahama kwenye simulizi na kutoa maelezo ya simulizi.
|
||
|
|
||
|
# Atashushwa
|
||
|
|
||
|
"Mungu atamshusha"
|
||
|
|
||
|
# Atakwezwa
|
||
|
|
||
|
"Mungu atampa heshima"
|