forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
365 B
Markdown
12 lines
365 B
Markdown
|
# Mfarisayo akasimama, akasali mambo haya juu yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Maana kwenye maneno ya Kigiriki haipo wazi. inaweza kuwa na maana 1) "Mfarisayo alisimama akaomba juu yake mwenyewe kwa njia hii" au 2) Mfarisayo alisimama pekeyake na akasali."
|
||
|
|
||
|
# Majambazi
|
||
|
|
||
|
Jambazi ni mtu anayeiba vitu kwa kumlazimisha mtu ampe au kwa kumtishia kwa nguvu.
|
||
|
|
||
|
# Ninayopata
|
||
|
|
||
|
"Ninayopokea"
|