sw_tn/luk/17/14.md

28 lines
840 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# mkajionyeshe kwa makuhani
wenye ukoma walikuwa wanatakiwa kuthibitishwa na makuhani kwamba ukoma wao umepona. "jionyesheni wenyewe kwa makuhani ili waweze kuwachunguza"
# Na ikawa kwamba
maneno haya yametumika hapa kuonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
# wakatakasika
Wakati watu waliponywa, wao hawakuwa tena najisi. Hii inaweza kufanywa wazi. "wakawa safi wakati walipo ponywa ukoma wao" au "walikuwa wametibiwa ukoma wao"
# alipoona kwamba ameponywa
"kuona kwamba ameponywa" au "alitambua kwamba Yesu aliyemponya"
# akarudi
"alirudi Yesu"
# kwa sauti kubwa akimtukuza Mungu
"nakumtukuza Mungu kwa sauti kubwa"
# Akainama miguuni pa Yesu
"akapiga magoti na kuweka uso wake karibu na miguu ya Yesu." Alifanya hivi kwa kumheshimu Yesu.