forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
840 B
Markdown
28 lines
840 B
Markdown
|
# mkajionyeshe kwa makuhani
|
||
|
|
||
|
wenye ukoma walikuwa wanatakiwa kuthibitishwa na makuhani kwamba ukoma wao umepona. "jionyesheni wenyewe kwa makuhani ili waweze kuwachunguza"
|
||
|
|
||
|
# Na ikawa kwamba
|
||
|
|
||
|
maneno haya yametumika hapa kuonyesha mwanzo wa sehemu mpya ya hadithi. Kama lugha yako ina njia kwa ajili ya kufanya hii, unaweza kufikiria kutumia hapa.
|
||
|
|
||
|
# wakatakasika
|
||
|
|
||
|
Wakati watu waliponywa, wao hawakuwa tena najisi. Hii inaweza kufanywa wazi. "wakawa safi wakati walipo ponywa ukoma wao" au "walikuwa wametibiwa ukoma wao"
|
||
|
|
||
|
# alipoona kwamba ameponywa
|
||
|
|
||
|
"kuona kwamba ameponywa" au "alitambua kwamba Yesu aliyemponya"
|
||
|
|
||
|
# akarudi
|
||
|
|
||
|
"alirudi Yesu"
|
||
|
|
||
|
# kwa sauti kubwa akimtukuza Mungu
|
||
|
|
||
|
"nakumtukuza Mungu kwa sauti kubwa"
|
||
|
|
||
|
# Akainama miguuni pa Yesu
|
||
|
|
||
|
"akapiga magoti na kuweka uso wake karibu na miguu ya Yesu." Alifanya hivi kwa kumheshimu Yesu.
|