forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
497 B
Markdown
20 lines
497 B
Markdown
|
# kuwa wewe umtume aende nyumbani kwa baba yangu
|
||
|
|
||
|
"kwamba utamwambia Lazaro aende nyumbani kwa baba yangu" au "tafadhali, umtume aende nyumbani kwa baba yangu"
|
||
|
|
||
|
# nyumba ya baba yangu
|
||
|
|
||
|
hii inahusu watu katika nyumba. "familia yangu"
|
||
|
|
||
|
# ili apate kuwaonya
|
||
|
|
||
|
"ili Lazaro inaweza kuwaonya"
|
||
|
|
||
|
# mahali hapa pa mateso
|
||
|
|
||
|
"mahali hapa ambapo sisi kuteseka kwa adhabu" au "mahali hapa ambapo sisi tunateswa maumivu ya kutisha"
|
||
|
|
||
|
# kwa hofu kwamba
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana yeye hataki hili litokee "ili kwamba wao wasi"
|