forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
807 B
Markdown
28 lines
807 B
Markdown
|
# nani atakayewakabidhi na mali za kweli?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali kufundisha watu. "hakuna mtu atakayewakabidhi nyinyi mali ya kweli" au "hakuna mtu nitakupa utajiri wa kweli wa kusimamia"
|
||
|
|
||
|
# ambao nitakupa fedha yako mwenyewe?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali hili kufundisha watu. "hakuna mtu atakupa utajiri kwa nafsi yako"
|
||
|
|
||
|
# Yeyote aliye mwaminifu
|
||
|
|
||
|
"Watu ambao ni waaminifu." Hii itakuwa ni pamoja na wanawake.
|
||
|
|
||
|
# mwaminifu katika jambo dogo
|
||
|
|
||
|
'waaminifu hata kwa mambo madogo. " hakikisha hii haina sauti kama hao sio waaminifu sana.
|
||
|
|
||
|
# mwaminifu katika mambo madogo sana
|
||
|
|
||
|
"wasio waadilifu hata katika mambo madogo." Kuhakikisha hii haina sauti kama sio waovu mara nyingi.
|
||
|
|
||
|
# fedha isiyo ya halali
|
||
|
|
||
|
Tazama 16:08
|
||
|
|
||
|
# mali wa kweli
|
||
|
|
||
|
hii inahusu mali ambayo ni zaidi ya kweli, halisi, au kudumu kuliko fedha ya udhalimu.
|