forked from WA-Catalog/sw_tn
44 lines
1.4 KiB
Markdown
44 lines
1.4 KiB
Markdown
|
# Kuunganisha kauli:
|
||
|
|
||
|
Yesu alimaliza mfano huo kuhusu bwana na wakili wa wadaiwa wake. Katika mstari wa 9, Yesu anaendelea kuwafundisha wanafunzi wake.
|
||
|
|
||
|
# bwana kisha alimpongeza
|
||
|
|
||
|
maandiko hayaonyeshi jinsi bwana alitambua juu ya matendo ya wakili wake.
|
||
|
|
||
|
# alipongeza
|
||
|
|
||
|
"kusifiwa" au "akamsifu" au "kumpitisha "
|
||
|
|
||
|
# yeye alikuwa ametenda ......
|
||
|
|
||
|
"alikuwa alitenda vyema" au "Yesu alikuwa amefanya jambo la busara"
|
||
|
|
||
|
# Wana wa ulimwengu huu
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya wale kama meneja wa udhalimu ambao hawajui au kutokujali juu Mungu. "Watu wa dunia hii" au "watu wa kidunia"
|
||
|
|
||
|
# Wana wa nuru
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha watu wenye haki wasio na chakuficha. "wana wa nuru" au "watu waishio kwenye mwanga"
|
||
|
|
||
|
# Nina kwambia wewe
|
||
|
|
||
|
"Nina" inasemea Yesu. maneno "nawaambia" yanaweka alama ya mwisho ya hadithi na sasa Yesu anasimulia watu jinsi ya kutumia hadithi kwa maisha yao.
|
||
|
|
||
|
# makao ya milele
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana ya mbinguni ambako Mungu anaishi.
|
||
|
|
||
|
# kujifanyieni marafiki kutokana kwa njia ya fedha isiyo halali
|
||
|
|
||
|
lengo hapa ni juu ya kutumia fedha kusaidia watu wengine, sio kwa njiacambayo utajiri unapatikana kwa uongo.
|
||
|
|
||
|
# fedha isiyo ya halali
|
||
|
|
||
|
Inawezekana Maana ni 1) "fedha iliyopatikana kidhuluma" au 2) fedha iliyo patikana kwa mambo ya kidunia.
|
||
|
|
||
|
# wanaweza kuwakaribisha
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kutaja 1) Mungu wa mbinguni, ambaye ameridhika kwamba umetumia hela kuwasaidia watu, au 2) marafiki ulio wasaidia na fedha yako.
|