forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
595 B
Markdown
24 lines
595 B
Markdown
|
# kwanini msihukumu yaliyo sahihi wenyewe?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali kukemea umati. Anafundisha namna ya kufanya jambo jema kabila ya kuchelewa. Ninyi wenyewe mwatakiwa kutambua yaliyo mema"
|
||
|
|
||
|
# wenyewe
|
||
|
|
||
|
"kwa utashi wenu" au "wakati bado mna muda wa kufanya hivyo"
|
||
|
|
||
|
# Maana mkienda
|
||
|
|
||
|
Japo Yesu alikuwa akiongea na umati, hali aliyokuwa anaiwasilisha ni ya mtu kupitia mwenyewe..
|
||
|
|
||
|
# kukubaliana na mshitaki wako
|
||
|
|
||
|
"mkubaliane juu ya jambo na mshitaki wako"
|
||
|
|
||
|
# hakimu
|
||
|
|
||
|
Hili lina maanisha hakimu mkazi, lakini neno hili hap ni maalum zaidi na linatisha.
|
||
|
|
||
|
# hatakutoa huko
|
||
|
|
||
|
"hatakuruhusu wewe utoke huko"
|