forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
402 B
Markdown
12 lines
402 B
Markdown
|
# asingeruhusu nyumba yake ifunjwe
|
||
|
|
||
|
"asingeruhusu mwizi aivunje nyumba yake"
|
||
|
|
||
|
# kwani hamjui ni saa ngapi mwana wa Adamu atarudi
|
||
|
|
||
|
Kitu pekee kinacho wafananishwa kati ya mwizi na Mwana wa Adamu ni kwamba watu hawajui ni wakati gani wanakuja, hivyo wanatakiwa kuwa tayari.
|
||
|
|
||
|
# wakati gani Mwana wa Adamu atarudi
|
||
|
|
||
|
Yesu alikuwa akiongelea habari zake mwenyewe. "wakati Mimi, Mwana wa Adamu, nitakapo kuja"
|