forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
760 B
Markdown
24 lines
760 B
Markdown
|
# Wamebarikiwa
|
||
|
|
||
|
"Ni vizuri kama nini"
|
||
|
|
||
|
# ambao bwana atawakuta wako macho akirudi
|
||
|
|
||
|
"wale ambao bwana wao atawakuta wakimngoja atakapo rudi" au "Walio tayari bwana akirudi"
|
||
|
|
||
|
# atafunga ..atawaketisha chini
|
||
|
|
||
|
Kwasabu watumishi wamekuwa waaminifu na wako tayari kumuhudumia bwana wao, bwana atawalipa kwa kuwahudumia wao.
|
||
|
|
||
|
# atafunga nguo yake refu na mkanda
|
||
|
|
||
|
'atajiandaa kuwahudumia wao kwa kufunga nguo yake na mkanda" au " atavaa tayari kuwahudumia"
|
||
|
|
||
|
# kwa zamu ya pili ya ulinzi ya usiku
|
||
|
|
||
|
zamu ya pili ya ulinzi ni kati ya saa 3:00 usiku na saa 6:00 usiku. "karibu na usiku wa manane" au "kabla ya usiku wa manane"
|
||
|
|
||
|
# au kwa zamu ta tatu ya ulinzi
|
||
|
|
||
|
zamu ya tatu ya ulinzi ni kuanzia saa 6:00 usiku na na saa 9:00 usiku. Au "akija akiwa amechelewa sana usiku"
|