sw_tn/luk/11/intro.md

30 lines
1.8 KiB
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Luka 11 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Muundo na upangiliaji
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Baadhi ya tafsiri hupendelea kuweka mbele kidogo mashairi au sala maalum. ULB na tafsiri nyingine nyingi za Kiingereza huingiza mistari ya 11: 2-4, ambayo ni sala maalum, inayoitwa "Sala ya Bwana." Sala hii katika Mathayo 6 kuweka mbele kidogo."
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Sala ya Bwana
2021-09-10 19:12:24 +00:00
Huu sio maombi ya kurudiwa mara kwa mara, ingawa sala hii inaweza kutumika kwa njia hiyo. Badala yake, hutoa mfano wa jinsi Wakristo wanapaswa kuomba.
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Yona
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Yona alikuwa nabii wa Agano la Kale wa muhimu fulani lakini sio umuhimu mkubwa. Aliita taifa la Wayunani kutubu dhambi zao na walitii. Matukio haya husababisha nabii wa Kiyahudi kuwa na hasira juu ya neema ya Mungu inayoonyeshwa kwa Mataifa. Sura hii inalinganisha na mtazamo wa baadaye wa Wayahudi, sababu ya ukosefu wao wa toba na baadaye kuwa na hasira juu ya Mungu kwa neema anayowaonyesha Wayunani. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/prophet]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/sin]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/grace]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mwanga
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Mwangazi ni picha ya kawaida katika Maandiko iliyotumiwa kuonyesha haki. Mwanga pia hutumiwa kuonyesha njia ya haki na kuonyesha kuishi kwa haki. Giza mara nyingi hutumiwa kama picha ya kuonyesha dhambi au uovu. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/righteous]] and [[rc://*/tw/dict/bible/kt/unrighteous]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Kuosha
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Hii ilikuwa zoezi lililofanywa na Mafarisayo, lakini haikuwa wajibu kulingana na sheria ya Musa. Mafarisayo walikuwa na ibada nyingi zinazohusisha kuosha kwa kujaribu kujiweka safi. Hii ni ajabu kwa sababu hakuna kiasi cha maji kinachoweza kuwafanya kuwa safi kiroho. (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/lawofmoses]], [[rc://*/tw/dict/bible/kt/clean]] and [[rc://*/ta/man/translate/figs-irony]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[Luke 11:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../10/intro.md) | [>>](../12/intro.md)__