forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
526 B
Markdown
16 lines
526 B
Markdown
|
# Kauli ya kuunganisha
|
||
|
|
||
|
Yesu alimaliza kumjibu mwalimu wa Kiyahudi
|
||
|
|
||
|
# mmechukuwa funguo za ufahamu ...na mnawazuia wale wanaotaka kuingia
|
||
|
|
||
|
Yesu aliongea kuhusu ukweli wa Mungu kama vile ilikuwa ndani ya nyumba ambayo waalimu walikataa kuingia na hawaruhusu wengine kuingia. Hii ina maanisha waalimu hawamjui Mungu , na pia wanawazuia wengine kumjua Yeye pia.
|
||
|
|
||
|
# Ufunguo
|
||
|
|
||
|
Hii inawakilisha maana ya ruhusa, kama kwenye nyumba au kwenye chumba cha stoo.
|
||
|
|
||
|
# nyie wenyewe hamuingii
|
||
|
|
||
|
" ninyi wenyewe hamuingii ndani kupata ufahamu"
|