forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
540 B
Markdown
20 lines
540 B
Markdown
|
# mtu mwenye nguvu ...akilinda nyumba yake
|
||
|
|
||
|
Hii inaongelea Yesu ambaye anamshinda Shetani na mapepo wake kama mtu mwenye nguvu zaidi ananyo chukua vitu vya mtu mwenye nguvu
|
||
|
|
||
|
# vitu vyake vitakaa salama
|
||
|
|
||
|
"hakuna awezaye kuiba vitu vyake"
|
||
|
|
||
|
# na kuzichukua mali zake zote
|
||
|
|
||
|
"Kuiba mali zake" au kuchukua kila kitu alichokitaka"
|
||
|
|
||
|
# yeye asiye pamoja nami
|
||
|
|
||
|
"yeye asiyenisaidia " au "yeye asitenda kazi pamoja nami"
|
||
|
|
||
|
# yuko kinyume nami
|
||
|
|
||
|
"anafanya kazi kinyume nami". Hii inamaanisha wale watu waliosema kuwa Yesu anafanya kazi pamoja na Shetani.
|