forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
989 B
Markdown
24 lines
989 B
Markdown
|
# Sentensi unganishi
|
||
|
|
||
|
Siku ya pili baada ya Yesu kubali muonekano, Yesu alitoa pepo lililokuwa limemuingia kijana ambae wanafunzi walishindwa kumponya.
|
||
|
|
||
|
# Ikatokea
|
||
|
|
||
|
Hii tungo inaashiria mwanzo wa sehemu nyingine ya hadithi, Kama lugha yako ina maana nzuri zaidi , unaweza fikiria kuitumia hapa.
|
||
|
|
||
|
# Tazama, mwanaume kutoka kwenye kusanyiko
|
||
|
|
||
|
Neno "tazama" linatujulisha juu ya mtu mpya anaetokea kwenye hadithi. lugha yako ina maana nzuri zaidi. Kiingereza kinatumia "kulikuwa na mwanaume kwenye kusanyikao"
|
||
|
|
||
|
# unaona, roho
|
||
|
|
||
|
Tungo "unaona" inatutambulisha kwa pepo kwenye hadithi ya mwanadamu. lugha yako ina maana nzuri zaidi. Kiingereza kinatumia "kulikuwa na pepo"
|
||
|
|
||
|
# Lilitoka kwa tabu
|
||
|
|
||
|
inaweza kuwa na maana hizi 1) "vigumu kumuacha kamwe mwanangu" (UDB) au 2) "ni ngumu kwa mwanangu wakati linatoka"
|
||
|
|
||
|
# povu mdomoni
|
||
|
|
||
|
Wakati mtu anamshituko, wanaweza kupata shida kupimua au kumeza. Hii inasababisha povu jeupe kutokea kwenye midomo yao. Kama lugha yako inaweza elezea vizuri, itumie.
|