forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
846 B
Markdown
36 lines
846 B
Markdown
|
# akawambia
|
||
|
|
||
|
yesu akawaambia
|
||
|
|
||
|
# wote
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha wanafunzi wake wote waliokuwa na yesu.
|
||
|
|
||
|
# kunifata mimi
|
||
|
|
||
|
"kunifata mimi" au "kuongozana na mimi kama mwanafunzi"
|
||
|
|
||
|
# ajikane
|
||
|
|
||
|
AT: "kujijitoa kwa nfasi yake mwenywe," au "na aache tamaa yake mwenyewe"
|
||
|
|
||
|
# achukue msalaba wake kila siku
|
||
|
|
||
|
"auchukue na aubebe msalaba wake kila siku." Hii haimaanishi aubebe msalaba kila siku. Inamaanisha wafuasi wake wakatae vitu wanavyovitakana wawe tayari kuteseka na kufa ili kumtii yesu.
|
||
|
|
||
|
# anifuate
|
||
|
|
||
|
"kenda pamoja na mimi" au "kuanza kunifuata na kuendelea kunifuata"
|
||
|
|
||
|
# kitamfaidia nini mwanadamu...binafsi?
|
||
|
|
||
|
Yesu anatumia swali kuwafundisha wanafunzi wake. AT: "mwanadamu hapati kitu chochote kizuri...binafsi."
|
||
|
|
||
|
# kama akiupata ulimwengu wote
|
||
|
|
||
|
"kama atapata kila kitu ulimwenguni"
|
||
|
|
||
|
# akapoteza au akapata hasara yake binafsi
|
||
|
|
||
|
AT: "yeye mwenyewe atapotea"
|