sw_tn/luk/08/34.md

24 lines
364 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# wakakimbia
"kwa haraka wakakimbia mbali"
# wakamwona mtu ambaye mapepo yalikuwa yamemtoka
"walimwona mtu ambaye mapepo yamemtoka"
# alikuwa amevaa vizuri
"Alikuwa amevaa nguo"
# mwenye akili timamu
"alikuwa na akili timamu" au "alikuwa anaishi kawaida"
# amekaa kwenye miguu ya Yesu
"amekaa chini, akimsikiliza Yesu"
# na waliogopa
"walimwogopa Yesu"