forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
841 B
Markdown
32 lines
841 B
Markdown
|
# ujumbe wa kuunganisha
|
||
|
|
||
|
Yesu na wanafunzi wake wakaja pwani kwa Wagerasi ambapo Yesu aliondoa mapepo mengi kutoka kwa mwanaume.
|
||
|
|
||
|
# Mkoa wa Gerasini
|
||
|
|
||
|
Wagerasini walikuwa ni watu kutoka mji ulioitwa Gerasa.
|
||
|
|
||
|
# usawa wa Galilaya
|
||
|
|
||
|
"Upande mwingine wa Galilalya"
|
||
|
|
||
|
# mtu fulani kutoka mjini
|
||
|
|
||
|
"mtu kutoka mji wa Gerasa"
|
||
|
|
||
|
# na huyu mtu alikuwa na nguvu za giza
|
||
|
|
||
|
"mtu ambaye nguvu za giza zilimwendesha" au "huyu mtu alikuwa anaendeshwa na nguvu za giza"
|
||
|
|
||
|
# Kwa muda mrefu alikuwa havai nguo.... lakini aliishi kwenye makaburi
|
||
|
|
||
|
Hii ni taarifa ya nyuma kuhusu huyu mtu aliyekuwa na mapepo.
|
||
|
|
||
|
# alikuwa havai nguo
|
||
|
|
||
|
"hakuwa anavaa nguo"
|
||
|
|
||
|
# Makaburini
|
||
|
|
||
|
Hizi ni sehemu ambazo watu huwa wanaweka miili ya watu waliokufa, yawezekana ni mapango. ukweli kwamba mtu huyu alikuwa anaishi humo inaashiria kuwa haya hayakuwa mashimo yaliyochimbwa chini ya ardhi.
|