forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
577 B
Markdown
20 lines
577 B
Markdown
|
# husongwa na huduma na utajiri
|
||
|
|
||
|
"huduma na utajiri na ubora wa maisha huwasonga." "kama palizi huzuia miche mizuri kukua, huduma, utajiri, na ubora wa maisha haya zinawabana hawa watu kukua."
|
||
|
|
||
|
# huduma
|
||
|
|
||
|
"vitu ambavyo watu huogopa"
|
||
|
|
||
|
# ubora wa maisha haya
|
||
|
|
||
|
"vitu ambavyo kwenye maisha watu hufurahia"
|
||
|
|
||
|
# hawazai matunda
|
||
|
|
||
|
"hawazai kuzaa matunda." "kama mche ambao haukui na kuzaa matunda, hawawezi kukua na na kufanya kazi njema."
|
||
|
|
||
|
# kuazaa matunda ya uvumilivu
|
||
|
|
||
|
"Kuzaa matunda ya Uvumilivu." Ni kama miche yenye afya inavyozaa matunda mazuri, wanatoa kazi njema kwa uvumilivu"
|