forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
616 B
Markdown
20 lines
616 B
Markdown
|
# Dhawabu yenu itakuwa kubwa
|
||
|
|
||
|
"mtapokea dhawabu kubwa" au "mtapokea malipo mazuri" au "mtapata zawadi nzuri kwa sababu ya hilo"
|
||
|
|
||
|
# Mtakuwa wana wa aliye juu
|
||
|
|
||
|
Ni vizuri sana kutafsiri "wana" kwa maneno ambayo lugha yako itayatumia kwa asili kurejea kwa mwana wa kibinadamu.
|
||
|
|
||
|
# wana wa aliye juu
|
||
|
|
||
|
Hakikisha kwamba neno "wana" ni wingi lisichanganywe na cheo cha Yesu "Mwana wa aliye Juu Sana"
|
||
|
|
||
|
# Wasio na shukrani na ni watu waovu
|
||
|
|
||
|
"Watu ambao hawamshukuru yeye na ambao ni waovu"
|
||
|
|
||
|
# Baba yako
|
||
|
|
||
|
Hii inamrejea Mungu. Ni bora kutafsiri "Baba" kwa neno ambalo lugha ambayo kwa asili hutumika kurejea kwa baba binadamu.
|