forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
367 B
Markdown
20 lines
367 B
Markdown
|
# Taarifa kwa ujumla
|
||
|
|
||
|
Yesu anasema habari kwa waandishi na mafarisayo waliokuwa nyumbani kwa Lawi.
|
||
|
|
||
|
# Hakuna mtu huchana
|
||
|
|
||
|
"Hakuna mmoja hupasua " au" mtu hachani kamwe"
|
||
|
|
||
|
# kama alifanya hivyo
|
||
|
|
||
|
Kauli hii tete inaelezea sababu kwa nini mtu hatarekebisha vazi kwa njia hiyo.
|
||
|
|
||
|
# kurekebisha
|
||
|
|
||
|
"karabati"
|
||
|
|
||
|
# kisingefaa
|
||
|
|
||
|
"kisingeweza kukubaliana " au" kisingekuwa sawa"
|