sw_tn/luk/05/36.md

20 lines
367 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2018-04-12 01:01:04 +00:00
# Taarifa kwa ujumla
Yesu anasema habari kwa waandishi na mafarisayo waliokuwa nyumbani kwa Lawi.
# Hakuna mtu huchana
"Hakuna mmoja hupasua " au" mtu hachani kamwe"
# kama alifanya hivyo
Kauli hii tete inaelezea sababu kwa nini mtu hatarekebisha vazi kwa njia hiyo.
# kurekebisha
"karabati"
# kisingefaa
"kisingeweza kukubaliana " au" kisingekuwa sawa"