forked from WA-Catalog/sw_tn
40 lines
1.2 KiB
Markdown
40 lines
1.2 KiB
Markdown
|
# Sentensi Unganishi
|
||
|
|
||
|
Chakulani, Yesu anazungumza na Mafarisayo na waandishi.
|
||
|
|
||
|
# Nyumbani mwake
|
||
|
|
||
|
"kwenye nyumba ya Lawi"
|
||
|
|
||
|
# walioketi mezani
|
||
|
|
||
|
Aina ya Kigiriki ya kula kwenye karamu ilikuwa kuegemea kochi na kujihimili peke yako kwa mkono wa kushoto kwenye baadhi ya mito ." au " "kwenye meza"kukaa mezani"
|
||
|
|
||
|
# kwa wanafunzi wake
|
||
|
|
||
|
"kwa wanafunzi wa Yesu"
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini unakula ... kwa mtu mwenye dhambi?
|
||
|
|
||
|
Mafarisayo na Waandishi waliuliza haya kudhihirisha kutoridhishwa kwao kwamba Yesu na wanafunzi wake walikuwa wanakula na wenye dhambi. NI: "Huwezi kula na wenye dhambi!"
|
||
|
|
||
|
# mnakula na kunywa pamoja ... watu wenye dhambi
|
||
|
|
||
|
Mafarisayo na waandishi waliamini kwamba watu wa dini wanapaswa kujitenga na watu waliowaona kuwa ni wenye dhambi. Neno "wewe" ni wingi.
|
||
|
|
||
|
# Watu ambao ni wazima ... wagonjwa
|
||
|
|
||
|
Yesu anadhihirisha hii kama mithali.
|
||
|
|
||
|
# Tabibu
|
||
|
|
||
|
daktari atibuye " au" daktari"
|
||
|
|
||
|
# ni ambao wanaumwa tu
|
||
|
|
||
|
Maneno "inahitaji" yanaeleweka kutoka kirai kilichotangulia. NI: "ni wale wagojwa tu wanamwitaji"
|
||
|
|
||
|
# watu wenye haki
|
||
|
|
||
|
Baadhi ya watu walifikiri wanahaki. Yesu anarejea kwa hao kwa namna walivyofikiri kuhusu wao wenyewe ingawaje alijua kwamba hawakuwa wenye haki. NI: "watu wafikirio wanahaki"
|