forked from WA-Catalog/sw_tn
32 lines
1.0 KiB
Markdown
32 lines
1.0 KiB
Markdown
|
# Kauli Unganishi:
|
||
|
|
||
|
Yesu anahubiri kutoka katika mtumbwi wa Simoni Petro katika ziwa Genesareti
|
||
|
|
||
|
# Sasa ilitokea
|
||
|
|
||
|
Kauli hii inatumika hapa kuweka alama kwenye mwanzo wa sehemu mpya ya simulizi. Kama lugha yako inanamna ya kufanya hivi, ungefikiri kutumia hapa.
|
||
|
|
||
|
# ziwa Genesareti
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina lingine la ziwa Galilaya. Galilaya ulikuwa upande magharibi wa ziwa, na na nchi ya Genesareti ulikuwa upande wa mashariki, hivyo ulikuwa unaitwa kwa majina yote.
|
||
|
|
||
|
# kuosha nyavu zao
|
||
|
|
||
|
Walikuwa wanasafisha nyavu za kuvuvia ili wazitumia tena kupata samaki.
|
||
|
|
||
|
# mitumbwi mmoja ambao ulikuwa wa Simoni
|
||
|
|
||
|
"mtumbwi unaomilikiwa na simoni"
|
||
|
|
||
|
# akamwambia kuweka kwenye maji mbali kidogo kutoka kwenye ardhi
|
||
|
|
||
|
"alimwambia Petro kuusukuma mtumbwi zaidi kutoka ufuoni"
|
||
|
|
||
|
# aliketi na akawafundisha watu
|
||
|
|
||
|
kuketi ilikuwa ni mfumo wa kawaida kwa mwalimu.
|
||
|
|
||
|
# aliwafundisha watu tokea kwenye mtumbwi
|
||
|
|
||
|
"aliwafundisha watu akiwa amekaa kwenye mtumbwi." Yesu alikuwa katika mtumbwi mbali kidogo kutoka ufuoni na alikuwa anaongea na watu ambao walikuwa kwenye ufuo.
|