forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1013 B
Markdown
28 lines
1013 B
Markdown
|
# Maelezo Unganishi
|
||
|
|
||
|
Mungu anaendelea kumwambia Musa yawasayo watu kutenda mtu mwingine anapofanya mambo mabaya
|
||
|
|
||
|
# lazima atendewe vivyo hivyo
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "sharti mtende hivyo kwake"
|
||
|
|
||
|
# Mvunjiko kwa mvunjiko
|
||
|
|
||
|
Virai hivi vinasisitiza kwamba mtu anapaswa kupokea madhara yale yalele ambayo yeye aliyafanya kwa mwingine.
|
||
|
|
||
|
# jicho kwa jicho, jino kwa jin
|
||
|
|
||
|
Tazama aelezo ya sura 24:20
|
||
|
|
||
|
# Jino kwa jino
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha jino lililong'olewa kutoka kinywani. : "kama anang'oa jino la mtu mwingine, mojawapo la meno yake litang'olewa" au iwapo anang'oa jino la mtu mwingine, nao watang'oa mojawapo ya meno yake"
|
||
|
|
||
|
# Yera kwa jeraha
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha mifupa yenyekuvunjika. : Mfupa uliovunjika kaw amfupa uliovunkia" au "kamaanavunja mfupa wa , mmojawapo wa mifupa yake lazima uvunjwe " au "kama anavunja mfupa wa mtu mwingine, nao watavunja mmojawapo wa mifupa yake"
|
||
|
|
||
|
# yeyote auaye mtu lazima auawe
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtingo wa utendaji. : "nao sharti wamuue yeyote auaye mtu"
|