forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
491 B
Markdown
20 lines
491 B
Markdown
|
# Hawataoa
|
||
|
|
||
|
"Makuhani hawataoa"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu wametengwa
|
||
|
|
||
|
"kwa sababu wamewekwa kando" (UDB)
|
||
|
|
||
|
# Utamtenga
|
||
|
|
||
|
"nyinyi watu itawapasa kuwatendea makuhani kama watakatifu"
|
||
|
|
||
|
# kwa sababu yeye ndiye anayetoa mkate kwa Mungu wako
|
||
|
|
||
|
"Mkate" huwakilisha chakula kwa ujumla. Yahweh huwa hali hasa matoleo haya. Yahweh huwa hali chakula isipokuwa wakuhani ndiyo walikula chakula hicho.
|
||
|
|
||
|
# Ni lazima ateketezwe kwa moto
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Ni sharti mmcho moto hata kufa"
|