forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
756 B
Markdown
24 lines
756 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kile ambacho Aroni anapaswa kufanya siku ile ya upatanisho.
|
||
|
|
||
|
# lazima ainyunyize juu ya kifuniko cha upatanisho na mbele ya kifunuko cha upatanisho
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo ya sura 16:14
|
||
|
|
||
|
# Naye atafanya upatanisho kwa ajili ya mahali patakatifu kwa sababu ya matendo ya unajisi ya watu wa Israeli
|
||
|
|
||
|
Tahambi za watu wa Israeli zilipanajisi patakatifu.
|
||
|
|
||
|
# matendo ya unajisi...uasi...dhambi
|
||
|
|
||
|
Maneno haya kimsingi ni yale yale. Nayasisitiza kwamba watu wametenda aina zote za dhambi.
|
||
|
|
||
|
# Matendo ya unajisi
|
||
|
|
||
|
Tazama amelezo ya sura 13:20
|
||
|
|
||
|
# katika uwepo wa matendo yao ya unajisi.
|
||
|
|
||
|
Kile kirai "matendo yao ya unajisi" huwakilisha watu wafanyao matendo ya dhambi. : "katika uwepo wa watu wafanyao matendo ya dhambi"
|