forked from WA-Catalog/sw_tn
8 lines
300 B
Markdown
8 lines
300 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Musa kile ambacho Aroni anapaswa kufanya siku ile ya upatanisho.
|
||
|
|
||
|
# amchinje huyo fahali
|
||
|
|
||
|
Aroni angeikusanya damu ya fahali kwenye bakuli ili kwamba baadaye ainyunyize juu ya kiduniko cha upatanisho. Maana kamili ya maelezo haya yaweza kuwekwa wazi.
|