forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
741 B
Markdown
28 lines
741 B
Markdown
|
# siku saba
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo ya sura 13:5
|
||
|
|
||
|
# siku ya saba
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo ya sura 13:6
|
||
|
|
||
|
# kitu chochote ambacho ngozi imetumika
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kitu chochote ambacho mtu anatumia ngozi"
|
||
|
|
||
|
# kifaa chochote kilichoonekana na ukungu ndani yake
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Chochote ambacho kinapatika na ukungu wenye kudhuru juu yake"
|
||
|
|
||
|
# kifaa hicho ni najisi
|
||
|
|
||
|
Maelezo yake yaweza kufanana na ya sura 13:20
|
||
|
|
||
|
# huo ukungu unaweza kusababisha ugonjwa
|
||
|
|
||
|
Huo ukungu wenyekudhuru waweza kusababisha ugonjwa ndani ya mtu anayekikaribia kifaa.
|
||
|
|
||
|
# Chombo hicho lazima kiteketezwe kabisa kwa moto
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "yapasa akiteketeze hicho chombo kabisakabisa
|