forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
339 B
Markdown
12 lines
339 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuwaambia Musa na Aroni kile ambacho watu inawapasa kufanya mtu anapokuwa na ugojwa wa ngozi.
|
||
|
|
||
|
# ule ugonjwa
|
||
|
|
||
|
"Ugonjwa" hapa humaanisha ule ugonjwa juu ya kichwa au kidevu cha mtu.
|
||
|
|
||
|
# kuhani atamtangaza kuwa safi. Mtu huyo yapasa kufua nguo zake, na kisha atakuwa safi
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo ya sura 13:23
|