forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
750 B
Markdown
20 lines
750 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kuwambia Musa na Aruni kile anachowaruhusu watu kula na kile ambacho anawakataza kula
|
||
|
|
||
|
# Kwa kuwa watakuwa chukizo
|
||
|
|
||
|
"kuchukia" ni kukitaa na kukidharamu kitu. Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo" wa utendaji. : "kwa kuwa yawapasa kuwachukia hao au kwa kuwa ni lazima muwakatae kabisakabisa"
|
||
|
|
||
|
# mizoga yao sharti itakuwa chukizo
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "ywapasa kuichukia miili yao iliyokufa" au "msiguse miili yao iliyokufa"
|
||
|
|
||
|
# Chochote kisichokuwa na mapezi au magamba kilichomo majin
|
||
|
|
||
|
"Chocote kilichomo majini kisichokuwa na mapezi na magamba"
|
||
|
|
||
|
# lazima kiwe chukizo kwenu
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "lazima mvichukie" au "lazima mvikatae kabisa kabisa"
|