forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
775 B
Markdown
28 lines
775 B
Markdown
|
# ametekezwa kwa moto
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Kuhani alikuwa ameiteketeza yote"
|
||
|
|
||
|
# Eleazari and Ithamari
|
||
|
|
||
|
Yafasiri majina haya kama yalivyofasiriwa katika sura ya 10:5
|
||
|
|
||
|
# Kwa nini hamjaila ... mbele zake?
|
||
|
|
||
|
Musa anatumia swali kuwakemea Eleazari na Ithamari. swahili hili lenye ufsaha laweza kufasiriwa tamko. : "Iliwapasa kuwa mmeila...mbele zake."
|
||
|
|
||
|
# kwa kuwa ni takatifu sana
|
||
|
|
||
|
"kwa kuwa sadaka ya dhambi ni takatifu sana"
|
||
|
|
||
|
# kuchukua uovu wa kusanyiko
|
||
|
|
||
|
Ikimsababisha Yahweh kuwasamehe watu wa Israeli kunazungumziwa kana kwamba uovu ulikuwa kitu ambacho Yahweh hukichukua kutoka kwa watu.
|
||
|
|
||
|
# mbele zake
|
||
|
|
||
|
"katika uwepo wake"
|
||
|
|
||
|
# Tazama, damu yake haikuletwa ndani ya hema
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "hukuileta damu yake"
|