forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
532 B
Markdown
20 lines
532 B
Markdown
|
# Kile kidari kitikiswacho na lile paja ambalo hutolewa kwa Yahweh
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "kile kidali na paja ambalo mtu alilitikisa na kuipeleka kwa Yahweh"
|
||
|
|
||
|
# kidari
|
||
|
|
||
|
ile sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama chini ya shingo
|
||
|
|
||
|
# paja
|
||
|
|
||
|
ile sehemu ya juu mguu juu ya goti
|
||
|
|
||
|
# Wewe mwenyewe, wanao na binti zako
|
||
|
|
||
|
"Wewe" hapa humaanisha Aroni
|
||
|
|
||
|
# Nazo zitakuwa zako wewe na wanao uwe mgao wenu daima
|
||
|
|
||
|
Hii ijulikane kwamba sehemu hiyo ni ya Aroni na wanawe. : "Sehemu hii daima itakuwa kwa ajili yako na wanao"
|