forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
1.1 KiB
Markdown
28 lines
1.1 KiB
Markdown
|
# Hii itakuwa
|
||
|
|
||
|
"Hii" hapa hurejea nyuma kwenye amri kwa ajili ya makuhani ya kutokunywa mvinyo na kinywaji kikali waingiapo kwenye hema la kukutania.
|
||
|
|
||
|
# amri ya kudumu katika vizazi vyote vya watu wenu
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo ya sura ya 3:15.
|
||
|
|
||
|
# ili kupaambanua
|
||
|
|
||
|
Unaweza kuanza sentensi mpya hapa. "Yawapasa mfanye hivyo ili kwamba muweze kutofautisha"
|
||
|
|
||
|
# kati ya mambo matakatifu na mambo ya kawaida
|
||
|
|
||
|
Yale majina vumishi "mataktifu" na "ya kawaida" yaweza kutamkwa kama vivumishi. : "Kati ya kilicho kitakatifu na "cha kawaida" au "kati ya kilichowekwa wakufu kwa Mungu na kilicho cha kawaida
|
||
|
|
||
|
# kati ya kilichonajisi na kilichosafi
|
||
|
|
||
|
Yale majina vumishi "kilichonajisi|" na "kisichosafi" yaweza kutamkwa kama vivumishi. : "Kati ya kinajisi na kisafi" au "kati ya kile Mungu ambacho Mungu hatakikubali na kile ambacho atakikubali"
|
||
|
|
||
|
# Kilichonajisi
|
||
|
|
||
|
Mtu au kitu ambacho Yahweh amekitamka kuwa hakifai kuguswa yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa kichafu kimaumbile.
|
||
|
|
||
|
# kilichosafi
|
||
|
|
||
|
Mtu au kitu ambacho Yahweh amekitamka kuwa hakifai kuguswa yanazungumziwa kana kwamba yalikuwa safi kimaumbile.
|