forked from WA-Catalog/sw_tn
12 lines
304 B
Markdown
12 lines
304 B
Markdown
|
# wana wa Aroni wakamletea hiyo damu
|
||
|
|
||
|
Hii inaonyesha kwamba waliikinga damu kwenye bakuli wakati damu ilipokuwa ikichuruzika kutoka kwa mnyama. Maana kamili ya tamko hili yaweza kufanywa wazi wazi
|
||
|
|
||
|
# pembe za madhabahu
|
||
|
|
||
|
Tamza maelezo ya sura ya 4:6
|
||
|
|
||
|
# chini ya kitako cha madhabahu
|
||
|
|
||
|
"chini ya madhabahu"
|