forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
608 B
Markdown
28 lines
608 B
Markdown
|
# Musa akaichukua
|
||
|
|
||
|
sherehe rasmi inayomfanya mtu kuwa kuhani
|
||
|
|
||
|
# kutoka mikononi mwao
|
||
|
|
||
|
"Mikono" hapa huwakilisha nafsi nzima. : "kutoka kwa Aroni na wanawe"
|
||
|
|
||
|
# Zilikuwa ni sadaka ya kuwekwa wakfu
|
||
|
|
||
|
"Zilikuwa sadaka za kuwatenga Aroni na wanawe kwa ajili ya huduma kwa Yahweh"
|
||
|
|
||
|
# sadaka iliyofanywa kwa Yahweh kwa moto
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Sadaka ya kuteketezwa kwa Yahweh kwa moto
|
||
|
|
||
|
# ilitoa harufu ya kupendeza
|
||
|
|
||
|
Tazama lilivyofasiriwa katika sura ya 1:7
|
||
|
|
||
|
# kidari
|
||
|
|
||
|
Sehemu ya mbele ya mwili wa mnyama chini ya shingo
|
||
|
|
||
|
# kuwekewa mikono
|
||
|
|
||
|
Sherehe rasmi inayomfanya mtu kuwa kuhani
|