forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
800 B
Markdown
28 lines
800 B
Markdown
|
# Taarifa kwa Ujumla:
|
||
|
|
||
|
Yahweh anaendelea kumwambia Munsa kile anachopaswa kumwambia Aroni na wanawe.
|
||
|
|
||
|
# mahali panapostali kuchinjwa
|
||
|
|
||
|
Panaweza kuwekwa wazi kwamba hapa panamaanisha Mahali ambapo wanyama watolewao kwa ajili ya sadaka za kuteketezwa huchinjwa. Tazama 1:10
|
||
|
|
||
|
# Mafuta yote yaliyomo ndani yake yatatolewa:
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kufasiriwa katika mtido wa utendaji. : "Yule kuhani atayatoa mafuta yote yaliyomo ndani yake"
|
||
|
|
||
|
# sehamu za ndani
|
||
|
|
||
|
Hili ni tumbo pamoja na Matumbo
|
||
|
|
||
|
# Ini...figo
|
||
|
|
||
|
maneno haya yamefasiriwa katika mtindo ule ule uliotumika kwenye sura ya 3:3
|
||
|
|
||
|
# karibu na kiuno
|
||
|
|
||
|
Hii ni sehemu ya mwili kwenye pande za uti wa mgonngo kati ya mbavu na mifupa ya nyonga. Tazama 3:3
|
||
|
|
||
|
# hii yote lazima iondolewe
|
||
|
|
||
|
Hili linaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : Huyo Kuhani aiondoa hii yote.
|