forked from WA-Catalog/sw_tn
36 lines
778 B
Markdown
36 lines
778 B
Markdown
|
# Nayo Itatengenezwa
|
||
|
|
||
|
hii yaweza kufasiriwa katika mtindo wa utendaji. : "Nawe utaitengeneza"
|
||
|
|
||
|
# katika kikaango
|
||
|
|
||
|
Tazama sura ya 2:4 uone lilivyofasiriwa.
|
||
|
|
||
|
# Itakapokuwa imelowekwa
|
||
|
|
||
|
"Unga unapokuwa umeloana kabisa kwa mafuta"
|
||
|
|
||
|
# utaileta ndani
|
||
|
|
||
|
Hapa "Nawe" humrejelea mtu anayetoa sadaka.
|
||
|
|
||
|
# ili kuleta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo katika sura ya 1:7 kwa ufafanuzi.
|
||
|
|
||
|
# Kama ilivyoamriwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Kama vile ambayo Yahweh amekuamru"
|
||
|
|
||
|
# yote itateketezwa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : "yapasa aiteketeze yote"
|
||
|
|
||
|
# itateketezwa yote kabisa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yapasa aiteketeze yote kabisa"
|
||
|
|
||
|
# Haitaliwa kamwe
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo wa utendaji. : "Hakuna apaswaye kuila"
|