forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
736 B
Markdown
20 lines
736 B
Markdown
|
# ameagiza lisitendwe
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutakwa katika mtindo tendaji. : ": "amewaamuru watu wasitende
|
||
|
|
||
|
# atachukua hatia yake mwenyewe
|
||
|
|
||
|
Ile hatia ya mtu imezungumziwa kana kwamba ni kitu kinachoonekana ambacho mtu hukibeba. Neno "hatia" hapa huwakilisha kwa hatia hiyo. : "naye anawajibika kwa hatia yake mwenyewe" au "Yahweh atamwadhibu yeye kwa dhambi zake"
|
||
|
|
||
|
# mwenye thamani ya fedha iliyopo
|
||
|
|
||
|
Hii humaanisha kuwa mtu huyo ni lazima aamue kwa kutumia kipimo rasimi cha kwenye hema takatifu ni kiasi gani cha shekeli huyo kondoo dume anastahili.
|
||
|
|
||
|
# naye atakuwa amesamehewa
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "Yahweh atamsamehe yeye"
|
||
|
|
||
|
# na kwa hakika amekuwa na hatia mbele za Yahweh."
|
||
|
|
||
|
"Hakika Yahweh ataiangalia hatia yake"
|