forked from WA-Catalog/sw_tn
20 lines
584 B
Markdown
20 lines
584 B
Markdown
|
# Naye atauleta
|
||
|
|
||
|
"Naye yampasa kuleta unga safi"
|
||
|
|
||
|
# sadaka ya kuwakilisha
|
||
|
|
||
|
konzi kuhani chomayo juu ya madhabahu huwakakilisha matoleo yote. Hii humaanisha matoleo yote ni ya Yahweh, tazama sura ya 2:1
|
||
|
|
||
|
# atafanya upatanisho
|
||
|
|
||
|
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama tendo. : "atamatanisha"
|
||
|
|
||
|
# juu ya madhabahu, na juu ya matoleo yafanywayo kwa Yahweh
|
||
|
|
||
|
Hii yaweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : " Yahweh. : "juu ya sadaka za kuteketezwa kwa Yahweh"
|
||
|
|
||
|
# naye mtu huyo atakuwa amesahewa.
|
||
|
|
||
|
Hili laweza kutamkwa kama mtindo tendaji. : "Yahweh atasamehe dhambi za mtu huyo"
|