forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
637 B
Markdown
24 lines
637 B
Markdown
|
# Naye atayakata
|
||
|
|
||
|
"Naye'" hapa humaanisha yule mtu anayetoa sadaka
|
||
|
|
||
|
# yanvyokatwa hayo mafuta
|
||
|
|
||
|
Hili laweza kutamkwa katika mtindo tendaji. : "ni kama tu vile mtu akatavyo hayo mafuta"
|
||
|
|
||
|
# ataiteketeza
|
||
|
|
||
|
"atayachoma mafuta"
|
||
|
|
||
|
# ili kuleta harufu ya kupendeza kwa Yahweh
|
||
|
|
||
|
Tazama maelezo yaliyotolewa kwenye sura 1:7 ili uone maneno hayo yalivyofafanuliwa
|
||
|
|
||
|
# Kuhani atafanya upatanisho kwa ajili ya mtu hyo
|
||
|
|
||
|
Ile nomino dhahania "upatanisho" yaweza kutamkwa kama kitenzi. "Kuhani atapatanisha kwa ajili ya dhambi za mtu huyo"
|
||
|
|
||
|
# naye atakuwa amesamehewa.
|
||
|
|
||
|
Hili laweza kutamkwa katika mtingo tendaji. : "Yahweh atazisamehe dhambi za mtu huyo"
|