forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
845 B
Markdown
24 lines
845 B
Markdown
|
# Nilivaa haki, nayo ikanifunika
|
||
|
|
||
|
watu wa wakati ule waliongelea haki kama vazi. KTN: "Nilitenda haki, nayo ikawa kama vazi la kujisitiri juu yangu"
|
||
|
|
||
|
# uadilifu wangu ulikuwa kama joho na kilemba
|
||
|
|
||
|
watu wa wakati ule waliongelea uadilifu kama vazi. KTN: "Nilitenda kwa adili, na ilikuwa kama joho na kilemba juu yangu"
|
||
|
|
||
|
# kilemba
|
||
|
|
||
|
vazi refu ambalo wanaume hufunga kuzunguka vichwa vyao, huvaa kama kofia.
|
||
|
|
||
|
# nilikuwa macho kwa watu vipofu
|
||
|
|
||
|
Hii inamaanisha kuwasaidia watu vipofu. KTN: "nilikuwa kama macho kwa ajili ya watu vipofu" au "niliwaongoza watu vipofu"
|
||
|
|
||
|
# nilikuwa miguu kwa watu viwete
|
||
|
|
||
|
"nilikuwa kama miguu kwa watu viwete" au "niliwasaidia watu viwete"
|
||
|
|
||
|
# nilikuwa baba kwa watu wahitaji
|
||
|
|
||
|
hapa neno baba linawakilisha kutoa kwa ajili ya watu. KTN: "Nilitoa kwa ajili ya watu wahitaji kama baba anavyotoa kwa ajili ya watoto wake"
|