forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
643 B
Markdown
24 lines
643 B
Markdown
|
# Habari za Jumla:
|
||
|
|
||
|
Ayubu anaendelea kuzungumza kwa Mungu.
|
||
|
|
||
|
# Ninyi daima humshinda yeye,
|
||
|
|
||
|
Neno " yeye" linamaanisha kila mtu" Ninyi daima mnamshinda mwanadamu" au " Ninyi daima mnawashinda watu"
|
||
|
|
||
|
# yeye hupita mbali;
|
||
|
|
||
|
Kupita mbali kunawakilisha kufa. " yeye hufa"
|
||
|
|
||
|
# Ninyi mnabadilisha uso wake
|
||
|
|
||
|
Maana zaweza kuwa hizi: Maumivu kabla ya kufa humfanya uso wake kuwa angavu, au wakati mtu anapokufa, Mungu huufanya uso wa mtu kuwa tofauti.
|
||
|
|
||
|
# kumtuma yeye mbali kufa
|
||
|
|
||
|
Sentensi hii inawakilisha kumsababishia yeye kufa.
|
||
|
|
||
|
# na kama wakishushwa chini,
|
||
|
|
||
|
Kushushwa chini ni kuaibishwa. " kama wao wameaibishwa" au " ikiwa watu wakiwaaibisha wao"
|