forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
315 B
Markdown
16 lines
315 B
Markdown
|
# Maelezo ya jumla:
|
||
|
|
||
|
Wanafunzi wanaulizana kuhusu alichosemaYesu
|
||
|
|
||
|
# muda mfupi na hamtaniona tena
|
||
|
|
||
|
wanafunzi hawakuelewa kuwa yesu alikuwa anaongelea kifo chake msalabani
|
||
|
|
||
|
# na kisha muda mfupi mtaniona
|
||
|
|
||
|
Hii inaweza kumaanisha kufufuka kwa Yesu, au kuja kwa Yesu mara ya pili
|
||
|
|
||
|
# Baba
|
||
|
|
||
|
Hiki ni cheo muhimu cha Mungu
|