sw_tn/jhn/15/intro.md

18 lines
695 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2021-09-10 19:12:24 +00:00
# Yohana 15 Maelezo ya Jumla
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Dhana maalum katika sura hii
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
### Mzabibu
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Mzabibu ni mfano muhimu katika maandiko. Sura hii inaunda mfano mgumu na uliopanuliwa. Masuala mbalimbali ya mfano huu na jinsi hutumiwa italetea watafsiraji magumu katika lugha zote. (See: [[rc://*/ta/man/translate/figs-metaphor]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 19:21:44 +00:00
## Mimi ndimi
2021-09-10 19:12:24 +00:00
2021-09-10 21:41:39 +00:00
Yohana anatumia maneno haya mara saba katika injili yake. Ni maneno sawa yanayotumiwa na Mungu, alipojidhihirisha pamoja na jina lake Yahweh katika kichaka kilichokuwa kinawaka. Jina "Yahweh" linaweza kutafsiriwa kama "Mimi ndim." (See: [[rc://*/tw/dict/bible/kt/reveal]])
2021-09-10 19:12:24 +00:00
## Links:
* __[John 15:01 Notes](./01.md)__
2021-09-10 19:21:44 +00:00
__[<<](../14/intro.md) | [>>](../16/intro.md)__