sw_tn/jer/50/27.md

20 lines
361 B
Markdown
Raw Permalink Normal View History

2019-05-21 20:17:16 +00:00
# Taarifa ya jumla:
Bwana anaendelea kuzungumza namna ya kuwaharibu watu wa Babeli na Kaldayo.
# Ua ng'ombe zake wote
Askari vijana wanafanaishwa na ng'ombe kutokana na nguvu zao.
# ng'ombe wao
"wao" inamaanisha Babeli.
# wao ... yao
Hawa ni watu wa Babeli.
# Wale
Hawa ni watu waliosalia toka Babeli ambao watawaambia wengine juu ya kisasi cha Bwana.