forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
577 B
Markdown
28 lines
577 B
Markdown
|
# Unaruka kama ndama anayekanyaga malisho yake
|
||
|
|
||
|
Hii inawafananisha watu wa Babeli kama ndama mwenye furaha.
|
||
|
|
||
|
# Kukanyaga
|
||
|
|
||
|
sauti za jeshi linalokuja
|
||
|
|
||
|
# Jirani yako kama farasi mwenye nguvu
|
||
|
|
||
|
Hii inafananisha furaha zao na furaha ambazo jirani zao wanapiga.
|
||
|
|
||
|
# Hivyo mama yako ataaibika sana, aliyekuzaa anazalilika
|
||
|
|
||
|
Sentensi hizi zina maana moja zikisisitiza namna ambavyo aibu itakuwa kubwa.
|
||
|
|
||
|
# jangwa, nchi kavu
|
||
|
|
||
|
Hii inasisitiza namna ambavyo nchi imekuwa tasa kabisa.
|
||
|
|
||
|
# Tapatapa
|
||
|
|
||
|
Tetemeka kwa sababu ya hofu
|
||
|
|
||
|
# Sonya
|
||
|
|
||
|
Kufanya sauti kama ya nyoka yenye maana ya kutokukubali.
|