forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
443 B
Markdown
24 lines
443 B
Markdown
|
# Anachokisema Bwana
|
||
|
|
||
|
"alichokisema Bwana"
|
||
|
|
||
|
# ukaidi
|
||
|
|
||
|
Ni kitendo cha kukataa kumtii mtu au maelekezo kwa sababu ya kiburi
|
||
|
|
||
|
# Nitamlilia Moabu, na nitapiga kelele za huzuni kwa ajili ya Moabu wote
|
||
|
|
||
|
Yeremia anasema kitu kile kile kwa ajili ya kusisitiza.
|
||
|
|
||
|
# Piga kelele
|
||
|
|
||
|
Kilio na huzuni ambacho mtu hufanya anapokuwa na uchungu.
|
||
|
|
||
|
# Kir-heresi
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji wa zamani wa Moabu.
|
||
|
|
||
|
# Jazeri ... Sibma
|
||
|
|
||
|
Haya ni majina ya miji miwili ya Moabu.
|