forked from WA-Catalog/sw_tn
24 lines
670 B
Markdown
24 lines
670 B
Markdown
|
# Moabu alijiona kuwa yuko salama tangu akiwa kijana
|
||
|
|
||
|
Hapa linazungumziwa taifa lote lla Moabu.
|
||
|
|
||
|
# Yupo kama divai yake ambayo haijawekwa toka kwenye chombo kimoja hadi kingine
|
||
|
|
||
|
Hapa linazungumziwa taifa la Moabu ambalo linafananishwa na divai ambayo haikuhamishwa toka kwenye nchi yake.
|
||
|
|
||
|
# Kwa hivyo analadha nzuri kuliko kawaida; ladha yake haibadiliki
|
||
|
|
||
|
Maneno haya yana maana moja.
|
||
|
|
||
|
# Tazama, siku zinakuja
|
||
|
|
||
|
"Sikiliza kwa makini kwa sababu siku sio nyingi"
|
||
|
|
||
|
# Hivi ndivyo alivyosema Bwana
|
||
|
|
||
|
"alichokisema Bwana"
|
||
|
|
||
|
# watapiga juu yake na kumimina yote yaliyopo kwenye vyombo vyake na kuvunja mitungi yake
|
||
|
|
||
|
Maneni haya yanaonesha uharibifu unaokuja katika nchi ya Moabu.
|