forked from WA-Catalog/sw_tn
16 lines
401 B
Markdown
16 lines
401 B
Markdown
|
# Okoeni maisha yenu
|
||
|
|
||
|
Hapa wanazungumziwa watu wa Moabu.
|
||
|
|
||
|
# mkawe kama mtu aliye mkiwa
|
||
|
|
||
|
Watu waliokimbia uharibifu katika mji wanafananishwa na kichaka kilichostahimili nyakati ngumu jangwani na chenye majani ya kijani mwaka mzima.
|
||
|
|
||
|
# amini matendo yako
|
||
|
|
||
|
"kuishi kwa kufuata tamaduni na mafundisho ya dini yako"
|
||
|
|
||
|
# Kemoshi
|
||
|
|
||
|
"Kemoshi" ni mungu mkuu wa Wamoabu. Hapa Kemoni inawakilisha taifa la Moabu.
|