forked from WA-Catalog/sw_tn
28 lines
533 B
Markdown
28 lines
533 B
Markdown
|
# Mebo
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina ;a moja ya Mlima huko Moabu.
|
||
|
|
||
|
# Kiriathaimu
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji katika Moabu.
|
||
|
|
||
|
# Kiriathaimu imekamatwa na kuaibishwa.
|
||
|
|
||
|
"Adui ameukamata mji wa Kiriathiamu na watu wake hawajivunii tena."
|
||
|
|
||
|
# Heshima ya Moabu haipo tena
|
||
|
|
||
|
Hii ina maana kuwa heshima ya Moabu ambayo alikuwa akiifurahia imetoweka.
|
||
|
|
||
|
# Heshboni
|
||
|
|
||
|
Hili ni jina la mji wa mfalme wa Waamori.
|
||
|
|
||
|
# Madmena pia ataangamia
|
||
|
|
||
|
"madmena" ni mji uliopo Moabu. "Adui zao wataharibu mji wa Madmema."
|
||
|
|
||
|
# Upanga utakufuata
|
||
|
|
||
|
Hii inmaanisha kuwa jeshi litaivamia Moabu.
|